Ujauzito wako ni wa muda gani? Utafiti unaonyesha kuwa mara nyingi utoaji mimba kwa kutumia vidonge unapendekezwa kwa mimba zenye umri chini ya wiki 10. Tumia kikokotoleo (calculator) hiki kujua ujauzito una muda gani?
If your last period started on or after:
You can still consider the abortion pill.
Kulingana na shirika la Marekani la uzazi na jinakolojia, uavyaji wa mimba iliyo miezi mitatu au chini kwa kutumia tembe ni mojawapo ya taratibu za tiba salama . Hata hivyo, unapaswa kutayarisha ipasavyo kwa matibabu ya dharura kama itakavyohitajika. Zingatia maswali yetu hapa chini ili kusaidia kutengeneza mpango wako wa usalama iwapo kama utakavyohitaji.
Kituo cha matibabu cha dharurua kilicho karibu na kinachofunguliwa masaa ishirini na manne(24hours) kiko wapi?
Unahitaji kuwa na uwezo wa kufika kwenye kituo nkwa saa 1 au chini. (Kama una upungufu wa damu, unapaswa kuwa na uwezo wa kufika huko kwenye kituo kwa dakika 30.)
Utafika vipi kwenye kituo chako cha matibabu ya dharura?
Je, kuna mtu atakayekuwa nawe na anayeweza kukufikisha kwa gari? Je, utachukua teksi? Utatumia Usafiri wa umma? Itagharimu pesa ngapi na je, inapatikana masaa ishirini na manne(24hours)? Kumbuka, sio salama kuendesha gari mwenyewe kwenda hospitalini wakati wa dharura ya matibabu.
Ni yapi utakayowaeleza wahudumu wa afya na madaktari?
Uavyaji wa mimba kutumia tembe una vikwazo vya kisheria nchini mwako? Ni nini utakachowaeleza wahudumu wa afya na madakatari ili waweze kuelewa msaada unaohitaji, huku ukilinda usalama na siri yako? Tuna baadhi ya mapendekezo iwapo unahitaji msaada wa taarifa na habari za kutoa inapohitajika.
Ni yapi utakayowaeleza wahudumu wa afya na madaktari?
Utakachowaambia wahudumu wa afya Katika baadhi ya nchi, kuavya mimba ukitumia tembe ni kinyume cha sheria. Hii ina maana kwambwa utakapohitaji msaada wa matibabu ya dharura, uwe mwangalifu unachosema. Kuavya mimba kw akutumia madawa kuna ishara sawa na mimba inayotoka kwa njia ya kawaida( pia hujulikana kama avyaji kwa hiari). Tumetayarisha baadhi ya majibu ambayo unaweza ukatumia:
References:
This website may require anonymous cookies and various third party services to function properly. You can read our Terms & Conditions and Privacy Policies. By continuing to use this site you are giving us your consent to do this.